Monday 8 February 2010

karibuni sana

kwa heshima na taathima nakukaribisheni katika ukumbi wangu huu, ukumbi huu utakuwa mahususisi kwa ajili ya kupeyana habari za matukio mbalimbali yanayotokea nchini kwetu pamoja na kubadilishana mawazo, mupo huru kuleta habari zenu pamoja na mawazo yenu juu ya matukio mbalimbali yatakayokuwa yanatokea, karibu sana

1 comment:

Mitawi said...

thanks na karibu sana