Thursday 18 February 2010

Mswada kwa ajili ya mabadiliko ya sheria ya Uchaguzi waiva

Serikali ya Zanzibar inatarajiwa kupeleka mswada utakaopelekea kufanyiwa marekebisho sheria ya uchaguzi ili kuruhusu tume ya uchaguzi kusimamia zoezi la kura za maoni, mswada huo unatarajiwa kupelekwa katika baraza la Wawakilishi mwezi ujao, mwanasheria mkuu wa Serikali Iddi Pandu Hassan amedhibitisha kuwa mswada upo tayari na tayari ushapelekwa katika baraza la mapinduzi kwa hatua zaidi. kufanyika kwa kura`za maoni kutapelekea uundwaji wa serikali ya mseto au kuendelea kwa mfumo wa serikali uliokwepo hivi sasa kulingana na maoni ya wananchi.

No comments: