Saturday 13 March 2010

Bidhaa Bei Juu bado

Licha ya umeme kurudi bado bidhaa mbalimbali ambazo zilipanda ikiwa sababu ni umeme hazijashuka, baadhi ya bidhaa hizo ni pamoja na vinywaji kwa mfano chupa ya ujazo wa lita moja na nusu kabla ya kukatika umeme ilikuwa inauzwa kwa shilingi 600 hadi 700 kipindi cha kukatwa kwa umeme chupa hiyo ilipanda hadi 1000 kw a kisingizio cha kutumia gharama zaidi ya mafuta ya generator, kujaza upepo kwa tairi la gari kabla ya kukatika umeme ilikuwa 100 hadi 200 kipindi cha kiza ikawa 500, kuziba puncha kabla ilikuwa 500 kipindi cha umeme 2500 hadi 4000, na nyingi nyenginezo hata hivyo licha ya umeme kurudi bei ya bidhaa hizo zimebaki vilevile

No comments: