Saturday 13 March 2010

Umeme Bado baadhi ya sehemu

Licha ya umeme kurejeshwa tarehe 8 mwezi huu bado kuna maeneo hadi hii leo hawajapata umeme, baadhi ya maeneo hayo ni pamoja na ya mjini ambapo katika kile cha kushangaza utakuta nyumba ya jirani kuna umeme na inayofuata haina umeme, kwa mfano hadi leo baadhi ya nyumba chukwani hawana umeme, mtoni, vikokotoni na sehemu za ngambu halikadhalika, hata hivyo shirika la umeme limewataka wale wote ambao hawapati umeme kwenda kutoa taarifa, wakati umeme ukiwa umerudi kumekuwepo na kukatikakatika kwa umeme huo mara kwa mara kwa bila ya kutolewa taarifa rasmi huku ikiwacha watu wakiwa na wasiwasi na kutilia shaka umeme huo.

No comments: